Yohana 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Acheni kuhukumu kwa sura ya nje, bali hukumuni kwa hukumu ya uadilifu.”+ 1 Wakorintho 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+
19 Kutahiriwa+ hakumaanishi kitu, na kutotahiriwa+ hakumaanishi kitu, lakini kushika amri za Mungu kuna maana.+