Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nami nikawaamuru waamuzi wenu wakati huo, na kusema, ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, hukumuni kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni wake.+

  • Methali 24:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Maneno haya pia ni kwa ajili ya watu wenye hekima:+ Kuonyesha upendeleo katika hukumu si jambo zuri.+

  • Isaya 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye atakuwa na shangwe katika kumwogopa Yehova.+

      Na hatahukumu kulingana na sura inayoonekana kwa macho yake tu, wala kukaripia kulingana tu na jambo lililosikiwa na masikio yake.+

  • Mathayo 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu ninyi huitoa sehemu ya kumi+ ya mnanaa na dili na bizari, lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki+ na rehema+ na uaminifu.+ Ilikuwa lazima kuyafanya mambo haya, na bado kutopuuza yale mambo mengine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki