Yeremia 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, utaendelea kutawala kwa sababu unashindana kwa kutumia mierezi? Naye baba yako, je, hakula na kunywa na kutekeleza haki na uadilifu?+ Kwa hiyo alifanikiwa.+ Yohana 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Acheni kuhukumu kwa sura ya nje, bali hukumuni kwa hukumu ya uadilifu.”+
15 Je, utaendelea kutawala kwa sababu unashindana kwa kutumia mierezi? Naye baba yako, je, hakula na kunywa na kutekeleza haki na uadilifu?+ Kwa hiyo alifanikiwa.+