Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”

  • Zaburi 128:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+

      Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+

  • Isaya 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+

  • Yeremia 42:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kama ni jema au ni baya, sauti ya Yehova Mungu wetu ambaye tunakutuma kwake ndiyo tutakayoitii, ili iwe vema kwetu kwa sababu tunaitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki