40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”
6 Kama ni jema au ni baya, sauti ya Yehova Mungu wetu ambaye tunakutuma kwake ndiyo tutakayoitii, ili iwe vema kwetu kwa sababu tunaitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+