Kutoka 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+ Kumbukumbu la Torati 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu. Yohana 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Acheni kuhukumu kwa sura ya nje, bali hukumuni kwa hukumu ya uadilifu.”+
8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+
18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.