26 Nao wakawahukumu watu katika kila pindi inayofaa. Kesi ngumu walikuwa wakimletea Musa,+ lakini kila kesi ndogo wao wenyewe waliishughulikia wakiwa waamuzi.
16 “Nami nikawaamuru waamuzi wenu wakati huo, na kusema, ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, hukumuni kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni wake.+