Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao wakawahukumu watu katika kila pindi inayofaa. Kesi ngumu walikuwa wakimletea Musa,+ lakini kila kesi ndogo wao wenyewe waliishughulikia wakiwa waamuzi.

  • Kumbukumbu la Torati 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nami nikawaamuru waamuzi wenu wakati huo, na kusema, ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, hukumuni kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni wake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akaweka waamuzi katika nchi yote katika majiji yote yenye ngome ya Yuda, jiji baada ya jiji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki