Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wanawe hawakutembea katika njia zake,+ bali walikuwa na mwelekeo wa kufuata faida isiyo ya haki+ na wakawa wakikubali rushwa+ na kupotosha hukumu.+

  • 1 Samweli 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mimi hapa. Leteni jibu kinyume changu mbele za Yehova na mbele ya mtiwa-mafuta+ wake: Nimechukua ng’ombe wa nani au nimechukua punda wa nani+ au nimempunja nani au nimemponda nani au nimepokea kutoka kwa mkono wa nani pesa za hongo ili nizitumie kufunga macho yangu?+ Nami nitawarudishia ninyi.”+

  • Methali 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwovu atachukua hata rushwa kifuani+ ili kupotosha mapito ya hukumu.+

  • Mhubiri 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa kuwa uonevu mtupu unaweza kumfanya mtu mwenye hekima atende kiwazimu,+ na zawadi+ inaweza kuharibu moyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki