Kumbukumbu la Torati 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu. Methali 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu anayepata faida isiyo ya haki anailetea nyumba yake mwenyewe taabu,+ lakini anayechukia zawadi ndiye atakayeendelea kuishi.+
19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.
27 Mtu anayepata faida isiyo ya haki anailetea nyumba yake mwenyewe taabu,+ lakini anayechukia zawadi ndiye atakayeendelea kuishi.+