Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.

  • 1 Samweli 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wanawe hawakutembea katika njia zake,+ bali walikuwa na mwelekeo wa kufuata faida isiyo ya haki+ na wakawa wakikubali rushwa+ na kupotosha hukumu.+

  • Methali 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hayo ndiyo mapito ya kila mtu anayepata faida isiyo ya haki.+ Huiondoa nafsi yao walio nayo.+

  • Mhubiri 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa kuwa uonevu mtupu unaweza kumfanya mtu mwenye hekima atende kiwazimu,+ na zawadi+ inaweza kuharibu moyo.+

  • Isaya 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki