Kumbukumbu la Torati 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Mtu yeyote asitwae kuwa rehani jiwe la kusagia la mkononi au jiwe lake la juu la kusagia,+ kwa sababu ni nafsi anayoitwaa kuwa rehani. Ayubu 31:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ikiwa nimekula matunda yake bila pesa,+Na nafsi ya wamiliki wake nimeifanya ipumue,+
6 “Mtu yeyote asitwae kuwa rehani jiwe la kusagia la mkononi au jiwe lake la juu la kusagia,+ kwa sababu ni nafsi anayoitwaa kuwa rehani.