Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Gehazi+ mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu wa kweli+ akasema: “Tazama, bwana wangu amemwachilia Naamani,+ huyu Msiria kwa kutopokea mkononi mwake vitu alivyoleta. Kama Yehova anavyoishi,+ nitakimbia nimfuate, nichukue kitu fulani kutoka kwake.”+

  • Methali 15:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mtu anayepata faida isiyo ya haki anailetea nyumba yake mwenyewe taabu,+ lakini anayechukia zawadi ndiye atakayeendelea kuishi.+

  • Mika 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Walio vichwa vyake hutoa hukumu ili wale rushwa+ tu, na makuhani wake hufundisha ili tu wapate malipo,+ na manabii wake hufanya uaguzi ili tu wapate pesa;+ hata hivyo wao huendelea kujiegemeza kwa Yehova, wakisema: “Je, Yehova hayuko katikati yetu?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki