2 Wafalme 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi akamwambia Gehazi+ mtumishi wake: “Mwite huyo mwanamke Mshunamu.”+ Kwa hiyo akamwita ili asimame mbele yake. 2 Wafalme 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa mfalme alikuwa akisema na Gehazi+ mtumishi wa yule mtu wa Mungu wa kweli, kusema: “Tafadhali, nisimulie mambo yote makuu ambayo Elisha amefanya.”+
12 Basi akamwambia Gehazi+ mtumishi wake: “Mwite huyo mwanamke Mshunamu.”+ Kwa hiyo akamwita ili asimame mbele yake.
4 Sasa mfalme alikuwa akisema na Gehazi+ mtumishi wa yule mtu wa Mungu wa kweli, kusema: “Tafadhali, nisimulie mambo yote makuu ambayo Elisha amefanya.”+