20 Ndipo Gehazi+ mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu wa kweli+ akasema: “Tazama, bwana wangu amemwachilia Naamani,+ huyu Msiria kwa kutopokea mkononi mwake vitu alivyoleta. Kama Yehova anavyoishi,+ nitakimbia nimfuate, nichukue kitu fulani kutoka kwake.”+