Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mara moja akamwambia Gehazi:+ “Jifunge viuno+ vyako, uchukue fimbo+ yangu mkononi mwako, uende. Ukikutana na yeyote, usimsalimu;+ na yeyote akikusalimu, usimjibu. Nawe uitie fimbo yangu juu ya uso wa huyo mvulana.”+

  • 2 Wafalme 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Gehazi+ mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu wa kweli+ akasema: “Tazama, bwana wangu amemwachilia Naamani,+ huyu Msiria kwa kutopokea mkononi mwake vitu alivyoleta. Kama Yehova anavyoishi,+ nitakimbia nimfuate, nichukue kitu fulani kutoka kwake.”+

  • 2 Wafalme 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi ukoma+ wa Naamani utakushika wewe na uzao wako mpaka wakati usio na kipimo.”+ Mara moja akaondoka mbele yake, mwenye ukoma akiwa mweupe kama theluji.+

  • 2 Wafalme 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa mfalme alikuwa akisema na Gehazi+ mtumishi wa yule mtu wa Mungu wa kweli, kusema: “Tafadhali, nisimulie mambo yote makuu ambayo Elisha amefanya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki