5 Basi mtu fulani Naamani,+ mkuu wa jeshi la mfalme wa Siria, alikuwa mwanamume mkuu mbele ya bwana wake naye aliheshimiwa, kwa sababu Yehova alikuwa amewapa Siria wokovu kupitia yeye;+ na mwanamume huyo alikuwa ni mwanamume shujaa, mwenye nguvu, ingawa alikuwa na ukoma.