14 Ndipo akashuka, akaanza kujitumbukiza katika Yordani mara saba kulingana na neno la yule mtu wa Mungu wa kweli;+ kisha nyama yake ikarudi kama nyama ya mvulana mdogo,+ naye akawa safi.+
27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli wakati wa nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, ila Naamani yule mtu wa Siria.”+