Luka 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli wakati wa nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, ila Naamani yule mtu wa Siria.”+ Luka 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.” Na mara moja ule ukoma ukamtoka.+
27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli wakati wa nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, ila Naamani yule mtu wa Siria.”+
13 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.” Na mara moja ule ukoma ukamtoka.+