Mathayo 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.”+ Na mara moja ukoma wake ukatakasika.+ Marko 1:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na mara moja ule ukoma ukamtoka, naye akawa safi.+
3 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.”+ Na mara moja ukoma wake ukatakasika.+