2 Wafalme 5:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa Naamani, mkuu wa jeshi la mfalme wa Siria, alikuwa mtu maarufu aliyeheshimiwa na bwana wake, kwa sababu Yehova alikuwa amewapa Wasiria ushindi* kupitia yeye. Alikuwa shujaa hodari, ingawa alikuwa na ukoma.*
5 Sasa Naamani, mkuu wa jeshi la mfalme wa Siria, alikuwa mtu maarufu aliyeheshimiwa na bwana wake, kwa sababu Yehova alikuwa amewapa Wasiria ushindi* kupitia yeye. Alikuwa shujaa hodari, ingawa alikuwa na ukoma.*