Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo akachukua lile vazi rasmi la Eliya lililokuwa limeanguka kutoka kwake, akayapiga yale maji+ na kusema: “Yuko wapi Yehova Mungu wa Eliya, naam, Yeye?”+ Alipoyapiga maji, ndipo mwishowe yakagawanyika huku na huku, hivi kwamba Elisha akavuka.

  • 2 Wafalme 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo akasema: “Nileteeni bakuli dogo jipya, mweke chumvi ndani yake.” Basi wakalileta kwake.

  • 2 Wafalme 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana Yehova amesema hivi: “Ninyi hamtaona upepo, wala kuona mvua kubwa; ingawa hivyo, lile bonde la mto litajazwa maji,+ nanyi mtakunywa kutoka ndani yake,+ ninyi na mifugo yenu na wanyama wenu wa kufugwa.”’

  • 2 Wafalme 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nawe uende ufunge mlango nyuma yako na wana wako, nawe umimine katika vyombo hivyo vyote, na uweke kando vile vilivyojaa.”

  • 2 Wafalme 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo akashuka, akaanza kujitumbukiza katika Yordani mara saba kulingana na neno la yule mtu wa Mungu wa kweli;+ kisha nyama yake ikarudi kama nyama ya mvulana mdogo,+ naye akawa safi.+

  • 2 Wafalme 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi ukoma+ wa Naamani utakushika wewe na uzao wako mpaka wakati usio na kipimo.”+ Mara moja akaondoka mbele yake, mwenye ukoma akiwa mweupe kama theluji.+

  • 2 Wafalme 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo yule mtu wa Mungu wa kweli akasema: “Kimeanguka wapi?” Basi akamwonyesha mahali pale. Akakata kipande cha mti mara moja, akakitupa hapo, akafanya kile kichwa cha shoka kielee.+

  • 2 Wafalme 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi Elisha akasema: “Sikilizeni neno la Yehova.+ Yehova amesema hivi, ‘Kesho karibu na wakati kama huu kipimo kimoja cha sea cha unga laini kitakuwa na thamani ya shekeli moja, na vipimo viwili vya sea vya shayiri vitakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki