13 Na itatukia kwamba mara tu nyayo za miguu ya makuhani wanaolichukua sanduku la Yehova, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga maji ya Yordani, maji ya Yordani yatazuiliwa, maji yanayoshuka kutoka juu, nayo yatasimama kama ukuta wa maji.”+
8 Ndipo Eliya akachukua vazi lake rasmi,+ akalifunga, akapiga maji, nayo mwishowe yakagawanyika huku na huku, hivi kwamba wote wawili wakavuka juu ya nchi kavu.+