Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mwishowe wana wa Israeli wakapita katikati ya bahari juu ya nchi kavu,+ huku maji yakiwa ukuta kwao mkono wao wa kuume na wa kushoto.+

  • Yoshua 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huohuo wale makuhani waliolichukua sanduku la agano la Yehova wakaendelea kusimama bila kusonga kwenye nchi kavu+ katikati ya Yordani, huku Israeli wote wakivuka juu ya nchi kavu,+ mpaka taifa zima lilipokuwa limemaliza kuvuka Yordani.

  • 2 Wafalme 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo akachukua lile vazi rasmi la Eliya lililokuwa limeanguka kutoka kwake, akayapiga yale maji+ na kusema: “Yuko wapi Yehova Mungu wa Eliya, naam, Yeye?”+ Alipoyapiga maji, ndipo mwishowe yakagawanyika huku na huku, hivi kwamba Elisha akavuka.

  • Zaburi 114:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ulikuwa na nini, Ee bahari, hata ukakimbia,+

      Ee Yordani, hata ukaanza kurudi nyuma?+

  • Isaya 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova hakika ataukata ulimi wa bahari ya Misri,+ na kuutikisa mkono wake juu ya Mto+ katika mng’ao wa roho yake. Naye ataupiga katika mito yake saba, naye atawafanya watu watembee wakiwa wamevaa viatu vyao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki