3 na kuwaamuru, mkisema, ‘Jichukulieni mawe kumi na mawili+ kutoka katikati ya Yordani, kutoka mahali ambapo miguu ya makuhani ilisimama,+ nanyi myachukue na kuyaweka katika makao+ mtakayokaa usiku huu.’”
8 Ndipo Eliya akachukua vazi lake rasmi,+ akalifunga, akapiga maji, nayo mwishowe yakagawanyika huku na huku, hivi kwamba wote wawili wakavuka juu ya nchi kavu.+