Kutoka 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Farasi wa Farao+ pamoja na magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi walipoingia baharini,+Ndipo Yehova alipoyarudisha maji ya bahari juu yao,+Huku wana wa Israeli wakitembea juu ya nchi kavu katikati ya bahari.”+ Hesabu 33:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Halafu wakaondoka Pihahirothi, wakapita katikati ya bahari+ mpaka nyikani,+ wakaendelea kupiga mwendo safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu,+ wakapiga kambi Mara.+ Isaya 63:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+ 1 Wakorintho 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi sitaki mkose kujua, akina ndugu, kwamba mababu zetu walikuwa wote chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari + Waebrania 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+
19 Farasi wa Farao+ pamoja na magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi walipoingia baharini,+Ndipo Yehova alipoyarudisha maji ya bahari juu yao,+Huku wana wa Israeli wakitembea juu ya nchi kavu katikati ya bahari.”+
8 Halafu wakaondoka Pihahirothi, wakapita katikati ya bahari+ mpaka nyikani,+ wakaendelea kupiga mwendo safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu,+ wakapiga kambi Mara.+
13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+
10 Basi sitaki mkose kujua, akina ndugu, kwamba mababu zetu walikuwa wote chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari +
29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+