Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Farasi wa Farao+ pamoja na magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi walipoingia baharini,+

      Ndipo Yehova alipoyarudisha maji ya bahari juu yao,+

      Huku wana wa Israeli wakitembea juu ya nchi kavu katikati ya bahari.”+

  • Hesabu 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Halafu wakaondoka Pihahirothi, wakapita katikati ya bahari+ mpaka nyikani,+ wakaendelea kupiga mwendo safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu,+ wakapiga kambi Mara.+

  • Isaya 63:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+

  • 1 Wakorintho 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi sitaki mkose kujua, akina ndugu, kwamba mababu zetu walikuwa wote chini ya wingu+ na wote walipita katika bahari +

  • Waebrania 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki