Kutoka 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Farasi wa Farao na magari yake ya vita na askari wake wapanda farasi walipoingia baharini,+Ndipo Yehova alipoyarudisha maji ya bahari yakawafunika,+Lakini Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari.”+
19 Farasi wa Farao na magari yake ya vita na askari wake wapanda farasi walipoingia baharini,+Ndipo Yehova alipoyarudisha maji ya bahari yakawafunika,+Lakini Waisraeli walitembea kwenye nchi kavu katikati ya bahari.”+