Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na kwa pumzi kutoka katika mianzi ya pua+ yako maji yalirundamana;

      Yalisimama tuli kama bwawa la mafuriko;

      Maji yenye kututumuka yaligandamana katika moyo wa bahari.

  • Yoshua 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana tumesikia jinsi ambavyo Yehova aliyakausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mlipotoka Misri,+ na yale mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ ambao mliwaangamiza.+

  • Habakuki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Je, ni juu ya mito, Ee Yehova, je, hasira yako imewaka juu ya mito,+ au je, ghadhabu yako iko juu ya bahari?+ Kwa maana ulipanda farasi zako;+ magari yako yalikuwa wokovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki