10 Kwa maana tumesikia jinsi ambavyo Yehova aliyakausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mlipotoka Misri,+ na yale mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ ambao mliwaangamiza.+
8 Je, ni juu ya mito, Ee Yehova, je, hasira yako imewaka juu ya mito,+ au je, ghadhabu yako iko juu ya bahari?+ Kwa maana ulipanda farasi zako;+ magari yako yalikuwa wokovu.+