2 Samweli 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na sakafu za vijito vya bahari zikaonekana,+Misingi ya nchi yenye kuzaa+ ikafunuliwa,Kwa kemeo la Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yake.+ Zaburi 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sakafu za vijito vya maji zikaonekana,+Na misingi ya nchi yenye kuzaa ikafunuliwa,+Kwa kemeo lako, Ee Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yako.+
16 Na sakafu za vijito vya bahari zikaonekana,+Misingi ya nchi yenye kuzaa+ ikafunuliwa,Kwa kemeo la Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yake.+
15 Na sakafu za vijito vya maji zikaonekana,+Na misingi ya nchi yenye kuzaa ikafunuliwa,+Kwa kemeo lako, Ee Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yako.+