18 Basi ikawa kama alivyosema yule mtu wa Mungu wa kweli kwa mfalme, akisema: “Vipimo viwili vya sea vya shayiri vyenye thamani ya shekeli moja na kipimo kimoja cha sea cha unga laini chenye thamani ya shekeli moja ndivyo itakavyokuwa kesho wakati kama huu katika njia ya lango la Samaria.”+