Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+

      Naye atajuta juu ya watumishi wake,+

      Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetoweka

      Na aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.

  • Waamuzi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sauti za wenye kugawa maji katika mahali pa kuteka maji,+

      Hapo walianza kusimulia matendo ya uadilifu ya Yehova,+

      Matendo ya uadilifu ya wakaaji wake katika nchi iliyo wazi katika Israeli.

      Ndipo watu wa Yehova walipoondoka na kwenda mpaka malangoni.

  • 2 Wafalme 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi ikawa kama alivyosema yule mtu wa Mungu wa kweli kwa mfalme, akisema: “Vipimo viwili vya sea vya shayiri vyenye thamani ya shekeli moja na kipimo kimoja cha sea cha unga laini chenye thamani ya shekeli moja ndivyo itakavyokuwa kesho wakati kama huu katika njia ya lango la Samaria.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki