2 Wafalme 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ilitendeka kama mtu wa Mungu wa kweli alivyokuwa amemwambia mfalme: “Kesho wakati kama huu, sea mbili za shayiri zitakuwa na thamani ya shekeli moja, na sea moja ya unga laini itakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.”+
18 Ilitendeka kama mtu wa Mungu wa kweli alivyokuwa amemwambia mfalme: “Kesho wakati kama huu, sea mbili za shayiri zitakuwa na thamani ya shekeli moja, na sea moja ya unga laini itakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.”+