Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+ Waebrania 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+