2 Wafalme 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa maana Yehova anasema hivi: “Hamtaona upepo, wala hamtaona mvua; hata hivyo bonde* hili litajaa maji,+ nanyi mtakunywa maji yake, ninyi, ng’ombe wenu, na wanyama wenu wengine.”’
17 kwa maana Yehova anasema hivi: “Hamtaona upepo, wala hamtaona mvua; hata hivyo bonde* hili litajaa maji,+ nanyi mtakunywa maji yake, ninyi, ng’ombe wenu, na wanyama wenu wengine.”’