6 Kisha Yehova akamwambia tena: “Tia mkono wako, tafadhali, ndani ya mkunjo wa juu wa vazi lako.” Basi akautia mkono wake ndani ya mkunjo huo. Alipouchomoa, tazama, mkono wake ulikuwa umepatwa na ukoma kama theluji!+
10 Nalo wingu likageuka na kutoka juu ya hema, na, tazama! Miriamu alikuwa amepigwa kwa ukoma mweupe kama theluji.+ Ndipo Haruni akageuka kumwelekea Miriamu, na, tazama! alikuwa amepigwa kwa ukoma.+