Methali 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hayo ndiyo mapito ya kila mtu anayepata faida isiyo ya haki.+ Huiondoa nafsi yao walio nayo.+ Waroma 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+
23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+