10 Nalo wingu likageuka na kutoka juu ya hema, na, tazama! Miriamu alikuwa amepigwa kwa ukoma mweupe kama theluji.+ Ndipo Haruni akageuka kumwelekea Miriamu, na, tazama! alikuwa amepigwa kwa ukoma.+
27 Basi ukoma+ wa Naamani utakushika wewe na uzao wako mpaka wakati usio na kipimo.”+ Mara moja akaondoka mbele yake, mwenye ukoma akiwa mweupe kama theluji.+