Kutoka 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tena Yehova akamwambia: “Tafadhali, utie mkono wako ndani ya mkunjo wa juu wa vazi lako.” Basi akautia mkono wake ndani ya mkunjo wa vazi lake. Alipoutoa, tazama, mkono wake ulikuwa umepigwa na ukoma, ukawa mweupe kama theluji!+
6 Tena Yehova akamwambia: “Tafadhali, utie mkono wako ndani ya mkunjo wa juu wa vazi lako.” Basi akautia mkono wake ndani ya mkunjo wa vazi lake. Alipoutoa, tazama, mkono wake ulikuwa umepigwa na ukoma, ukawa mweupe kama theluji!+