Kutoka 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha Yehova akamwambia tena: “Tia mkono wako, tafadhali, ndani ya mkunjo wa juu wa vazi lako.” Basi akautia mkono wake ndani ya mkunjo huo. Alipouchomoa, tazama, mkono wake ulikuwa umepatwa na ukoma kama theluji!+
6 Kisha Yehova akamwambia tena: “Tia mkono wako, tafadhali, ndani ya mkunjo wa juu wa vazi lako.” Basi akautia mkono wake ndani ya mkunjo huo. Alipouchomoa, tazama, mkono wake ulikuwa umepatwa na ukoma kama theluji!+