Methali 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hazina za mwovu hazitakuwa na faida,+ lakini uadilifu ndio utakaokomboa kutoka katika kifo.+ Methali 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Urithi hupatikana kwa pupa mwanzoni,+ lakini wakati wake ujao hautabarikiwa.+