6 Je, hawa wote hawatamtungia neno la kimethali+ na maelezo ya kudokeza, mafumbo juu yake? Na mtu atasema, “ ‘Ole wake anayezidisha kisicho chake+—Ee mpaka wakati gani!+—na yule anayefanya deni lake mwenyewe liwe zito!
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+