Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+

  • Habakuki 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Je, hawa wote hawatamtungia neno la kimethali+ na maelezo ya kudokeza, mafumbo juu yake? Na mtu atasema, “ ‘Ole wake anayezidisha kisicho chake+—Ee mpaka wakati gani!+—na yule anayefanya deni lake mwenyewe liwe zito!

  • 1 Timotheo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki