Ayubu 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha. Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+
17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha.
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+