Methali 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Anayempunja mtu wa hali ya chini ili ajipatie vitu vingi,+ pia yeye anayempa tajiri, hakika atakuwa na uhitaji.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.
16 Anayempunja mtu wa hali ya chini ili ajipatie vitu vingi,+ pia yeye anayempa tajiri, hakika atakuwa na uhitaji.+
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.