Zaburi 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+ Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+ Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+
5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+“Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+
31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+
2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+