Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Usiitamani nyumba ya mwenzako. Usimtamani mke wa mwenzako,+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe-dume wake wala punda wake wala chochote cha mwenzako.”+

  • 1 Wafalme 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo Ahabu akamwambia Nabothi: “Nipe+ shamba lako la mizabibu,+ ili liwe bustani+ yangu ya mboga,+ kwa maana liko karibu na nyumba yangu; nami nitakupa mahali pake shamba la mizabibu lililo bora kuliko hilo. Au ikiwa vema machoni pako,+ nitakupa pesa kama bei yake.”

  • Nehemia 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tafadhali, warudishieni leo mashamba yao,+ mizabibu yao, mizeituni na nyumba zao, na kiasi cha sehemu moja kwa mia cha pesa na nafaka, divai mpya na mafuta mnachowatoza kama faida.”

  • Isaya 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ole wao wanaounganisha nyumba na nyumba,+ na wale wanaounganisha shamba na shamba hata nafasi isiwepo tena+ nanyi mmefanywa mkae peke yenu kabisa katikati ya nchi!

  • Ezekieli 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Watu wa nchi wenyewe wameendesha mbinu ya kupunja+ nao wamenyakua katika unyang’anyi,+ nao wamemtendea vibaya+ anayeteseka na aliye maskini, na kumpunja bila haki mkaaji mgeni.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki