Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Usiitamani nyumba ya mwenzako. Usimtamani mke wa mwenzako,+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe-dume wake wala punda wake wala chochote cha mwenzako.”+

  • Kumbukumbu la Torati 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Wala usimtamani mke wa mwenzako.+ Wala usitamani kwa uchoyo nyumba ya mwenzako, shamba lake au mtumishi wake au kijakazi wake, ng’ombe wake au punda wake au kitu chochote cha mwenzako.’+

  • Habakuki 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Ole wake anayeipatia nyumba yake faida ya uovu,+ ili kukiweka kiota chake kileleni, ili kukombolewa kutoka mkononi mwa jambo lenye msiba!+

  • Luka 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo akawaambia: “Endeleeni kufungua macho yenu na mjilinde na kila namna ya tamaa,+ kwa sababu hata wakati mtu ana vitu vingi uzima wake hautokani na vitu alivyo navyo.”+

  • Waroma 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, tuseme nini? Je, Sheria ni dhambi?+ Isiwe hivyo kamwe! Kwa kweli singejua dhambi+ kama isingekuwa kwa sababu ya Sheria; na, kwa mfano, mimi singejua tamaa+ kama Sheria haingesema: “Usitamani.”+

  • Yakobo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini kila mtu hujaribiwa kwa kuvutwa na kushawishiwa na tamaa yake mwenyewe.+

  • 2 Petro 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki