Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi mwanamke akaona kwamba mti huo ulikuwa mzuri kwa chakula na kwamba ulikuwa kitu cha kutamanika kwa macho, ndiyo, mti huo ulikuwa wenye kupendeza kuutazama.+ Kwa hiyo akaanza kuchukua kati ya matunda yake akala. Baadaye akampa mume wake pia alipokuwa pamoja naye, naye akaanza kula.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wametenda kwa uharibifu;+

      Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+

      Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+

  • Isaya 44:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Anajilisha majivu.+ Moyo wake ambao umedanganywa umempotosha.+ Naye haikomboi nafsi yake, wala hasemi: “Je, hamna uwongo katika mkono wangu wa kuume?”+

  • 1 Yohana 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu kila kitu kilicho katika ulimwengu+—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali yake maishani+—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki