2 Kwa hiyo Ahabu akamwambia Nabothi: “Nipe+ shamba lako la mizabibu,+ ili liwe bustani+ yangu ya mboga,+ kwa maana liko karibu na nyumba yangu; nami nitakupa mahali pake shamba la mizabibu lililo bora kuliko hilo. Au ikiwa vema machoni pako,+ nitakupa pesa kama bei yake.”
13 “Ole wake anayejenga nyumba yake,+ lakini si kwa uadilifu, na vyumba vyake vya juu, lakini si kwa haki, kwa kutumia mwanadamu mwenzake anayetumikia bure, na ambaye hampi malipo yake;+