Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Usimpunje+ mwenzako, wala usinyang’anye.+ Usikae na mshahara wa mfanyakazi wa kukodiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+

  • Kumbukumbu la Torati 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Hupaswi kumpunja mfanyakazi wa kukodiwa aliye katika taabu na aliye maskini, awe wa ndugu zako au wa wakaaji wageni wako walio katika nchi yako, ndani ya malango yako.+

  • Mika 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mnaojenga Sayuni kwa matendo ya umwagaji wa damu na Yerusalemu kwa ukosefu wa uadilifu.+

  • Habakuki 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Ole wake anayeipatia nyumba yake faida ya uovu,+ ili kukiweka kiota chake kileleni, ili kukombolewa kutoka mkononi mwa jambo lenye msiba!+

  • Habakuki 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+

  • Malaki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nami nitawakaribia ninyi ili kuhukumu,+ nami nitakuwa shahidi wa haraka+ juu ya walozi,+ na juu ya wazinzi,+ na juu ya wale wanaoapa kwa uwongo,+ na juu ya wale wanaoupunja mshahara wa mfanyakazi,+ na mjane+ na mvulana asiye na baba,+ na wale wanaomfukuza mkaaji mgeni,+ wala hawakuniogopa mimi,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • Yakobo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki