Kumbukumbu la Torati 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+ Luka 20:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na ambao humeza nyumba za wajane+ na kutoa sala ndefu kwa kisingizio. Hawa watapokea hukumu nzito zaidi.”+
17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+
47 na ambao humeza nyumba za wajane+ na kutoa sala ndefu kwa kisingizio. Hawa watapokea hukumu nzito zaidi.”+