Kutoka 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana hilo ndilo vazi pekee la kujifunika alilo nalo.+ Ndiyo nguo yake ya kujitanda ili kuifunika ngozi yake. Atalalia nini? Na itakuwa kwamba atanililia, nami hakika nitasikia, kwa sababu mimi ni mwenye neema.+ Ayubu 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wanamchukua hata punda-dume wa wavulana wasio na baba;Wanamkamata ng’ombe wa mjane kuwa rehani.+
27 Kwa maana hilo ndilo vazi pekee la kujifunika alilo nalo.+ Ndiyo nguo yake ya kujitanda ili kuifunika ngozi yake. Atalalia nini? Na itakuwa kwamba atanililia, nami hakika nitasikia, kwa sababu mimi ni mwenye neema.+