Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda. Kumbukumbu la Torati 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa vyovyote unapaswa kumrudishia rehani hiyo mara tu baada ya jua kutua,+ naye ataenda kulala na vazi lake,+ naye atakubariki;+ nalo hilo litamaanisha uadilifu kwako mbele za Yehova Mungu wako.+ Ayubu 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wanalazimika kutembea uchi wakiwa bila vazi,Nao wanalazimika kubeba masuke yaliyovunwa wakiwa na njaa.+
18 anayetekeleza haki kwa ajili ya mvulana asiye na baba na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni+ ili kumpa mkate na nguo ya kujitanda.
13 Kwa vyovyote unapaswa kumrudishia rehani hiyo mara tu baada ya jua kutua,+ naye ataenda kulala na vazi lake,+ naye atakubariki;+ nalo hilo litamaanisha uadilifu kwako mbele za Yehova Mungu wako.+
10 Wanalazimika kutembea uchi wakiwa bila vazi,Nao wanalazimika kubeba masuke yaliyovunwa wakiwa na njaa.+