10 Pia, usikusanye masalio+ ya shamba lako la mizabibu, wala usiokote zabibu zilizotawanyika za shamba lako la mizabibu. Ziache kwa ajili ya mwenye kuteseka na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
14 “Hupaswi kumpunja mfanyakazi wa kukodiwa aliye katika taabu na aliye maskini, awe wa ndugu zako au wa wakaaji wageni wako walio katika nchi yako, ndani ya malango yako.+