6 Na lazima ndani yake pabaki masalio kama kunapokuwa na upigaji wa mzeituni: zeituni mbili au tatu zilizoiva juu ya tawi; nne au tano juu ya matawi yanayozaa matunda hapo,” asema Yehova Mungu wa Israeli.+
9 Ikiwa wakusanya-zabibu wangeingia kwako, je, hawangeacha masalio fulani? Ikiwa wezi wangekuja wakati wa usiku, hakika wangefanya uharibifu kiasi kile tu ambacho wangetosheka nacho.+